Yourtzad

Nape avuliwa uanachama

CCMLOGOBARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) limemvua uanachama, Nape Nnauye, kwa madai ya kukiuka maadili na kusema uongo nje ya kikao.

Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu kutoka mjini Dodoma, Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM...Read more Ballali

Yameiva uchaguzi Tarime

MaraMAMBO yameiva kuelekea katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Tarime mkoani Mara, baada ya chama kilichokuwa kikishikilia jimbo hilo, Chadema, kumpitisha mgombea wake mwishoni mwa wiki...Read more


Majibu ya ugonjwa wa ajabu kutolewa kesho

A.H.Mwinyi

Read more

tcc

Links

Advertising